


Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Songea (SOUWASA) imeshika nafasi ya pili katika utoaji bora wa huduma za Maji safi na Usafi wa mazingira kwa Mamlaka kubwa (zenye wateja zaidi ya 20,000). Cheti hiki kimetolewa na EWURA katika uzinduzi wa Taarifa ya Utendaji Kazi wa Mamlaka za Maji kwa mwaka wa fedha 2023/24 pamoja na utoaji wa tuzo kwa Mamlaka zilizofanya vizuri
Tuzo hii ni uthibitisho wa juhudi za SOUWASA katika kuboresha huduma kwa wananchi wa Songea kupitia uwekezaji katika miundombinu na usimamizi bora wa rasilimali.
Lorem Ipsum
Lorem Ipsum
Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji,
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Songea (SOUWASA)
📍 70 Barabara ya SOUWASA
📬 S.L.P 363,
🗺 57101 Songea,TANZANIA.
📧 Barua Pepe: info@souwasa.go.tz
🎧 Simu: +255 25 260 2294
📲 Namba ya Bure: 080 011 0010 / 0677091360